Wengi
tumekwama mahali ambapo hatutaki kukaa na hatuwezi kutoka. Tunaweza kudhani
kuwa kuna mtu au watu, mfumo, chama cha siasa, hali ya uchumi nk ambavyo ndivyo
vinavyo tuzuia kusogea.
Ukweli
ni kwamba kizuizi kikubwa kipo kwenye akili zetu.
Tunaviona
zaidi vikwazo kuliko fursa.
Tunazijua
zaidi changamoto kuliko fursa.
Tunajua
zaidi ugumu uliopo kuliko uwezekano.
Kibaya
zaidi tunavitazama zaidi hivyo vikwazo, ugumu na changamoto kiasi kwamba
hatuwezi kuona mlango mpana wa uwezekano uliopo.
Wana
saikolojia wana sema You produce what you think about most of
time.
Unaweza
kushangaa yale mambo ambayo uliwahi kuyaona na ukaona ugumu na kuto kuwezekana,
leo amekuja mtu mwingine na akafanya kama ambavyo wewe ulitaka kufanya na amefanikiwa.
Usijisikie
vibaya sasa, hakikisha wakati ujao hufanyi kosa kama hilo tena.
Jizoeze
kuangalia upande unao utaka. Hakuna fursa inayokuja ikiwa na upande mmoja tu. Kwa
hiyo licha kutowezekana unako kuona, ukiangalia vizuri utaona uwezekano ndani
yake.
Kila
mara tafuta upande unaoutaka na uuangalie.
If
you think about impossibilities that bis exactly what you are going to
produce..
Be
positive…. Think positive
©Grant Sumaye
+255 763 449
749
Facebook/
Grant sumaye
Instagram:
Grant_s.s

0 comments:
Post a Comment