( NO ONE EVER
DEFEATED UNTIL DEFEAT HAS BEEN ACCEPTED
AS THE REALITY – NAPOLEON HILL)
hakuna kushindwa hadi wewe ukubali kuwa umeshindwa.
Kuna
msemo unasema ‘asiyekubali kushindwa sio mshindani…..’
Nami
nakubaliana nao.
Kana
unataka kuwa mshindani tu wewe kubali kushindwa.
Lakini
kama unataka kuwa mshindi usikubali kushindwa.
Mshindi
anajua kuwa kutoweza kwake leo ni matokeo ya muda na mpambano bado unaendelea.
Kuwa
na mtazamo wa mshindi na siyo wa mshindani.
Less
Brown anasema ‘Its
not over until you win.
Mpambano
huishi hadi wewe umeshinda.
Hata
shetani hajui cha kufanya ili kumzuia mtu ambaye hakubali kushindwa.
Usikubali matokeo ya muda kuwa ndiyo matokeo
ya mechi.

0 comments:
Post a Comment