Breaking News
Loading...
Tuesday, 19 April 2016

NONDO YA 13 - USIDHARAU MAWAZO YAKO

05:01


NONDO YA 13 - USIDHARAU MAWAZO YAKO

Mtaji mmoja wapo wa muhimu kuliko wote ni WAZO( IDEA)
Kuna msemo unaseka kuwa
‘ WATU SIYO MASIKINI KWA SABABU HAWANA HELA, BALI KWA SABABU HAWANA WAZO’

Unahitaji wazo zuri kuliko unavyo hitaji fedha. Nana wazo zuri ni zaidi ya fedha.

Tatizo la wengi ni kutokuwa na wazo, lakini tatizo kubwa zaidi ni watu kuto kuamini mawazo  yao.

. (Whatever a mind of a man can conceive and believe, it can achieve - Napoleon Hill)

Kila kitu ambacho akili yako inaweza kufikiri na kuamini basi unaweza kukifanya.
Usikae na wazo lako zuri mpaka likaoza. Hebu liamini na ulifanyie kazi.
Hakuna wazo kubwa,   kila wazo ambalo ni realistic maadamu utalipa muda na nguvu inayostahili uwe na uhakika kuwa  utaliweza kulitekeleza.

Amini mawazo yako. Unaweza kujizoeza kuwaza pia. Hata kama wazo lako moja litakuangusha haina maana kila siku mawazo yako yatakuangusha.
Jipe muda wa kutengeneza wazo zuri.


© Grant

+255 763 449 749
Facebook: Grant
Instagram: grant_s.s
Change first. Change fast.




0 comments:

Post a Comment

 
Toggle Footer